Ni ujio mpya wa kwaya ya Mtakatifu JOSEPH MFANYAKAZI KIGANGO CHA NZIHI, PAROKIA YA KIDAMALI-IRINGA ambayo imezindua albam yake mpya ya Muziki mtakatifu.
Kwaya hii kwa sasa imeachia albam yake nzuri kabisa anayoitwa 'TUMAINI LA MILELE' ambayo audio production ilifanyika TRIPLE J STUDIO- MBEYA, na video production imefanywa na RAJO PRODUCTION - DAR ES SALAAM.
MKANDA HUU wa picha (Video) unapatikana mikoa yote Tanzania ikiwemo Iringa, Dodoma, Dar es salaam, Mwanza, Mbeya, n.k......
Kwa mawasiliano jinsi ya kuipata DVD hii,,,
☎☎ +255759-104804
Mr. (Paschal Kabonge)
+255 752 243 201
Mr. (Nelson Alex)
Mr. (Paschal Kabonge)
+255 752 243 201
Mr. (Nelson Alex)
➡
paschalkabonge2@gmail.com
DVD HII INAUZWA SH, 5,000/= TU
DVD HII INAUZWA SH, 5,000/= TU
JIPATIE NAKALA YAKO ORIGINAL SASA.
PIGA SIMU AU TUMA UJUMBE UTUAMBIE UNAPOPATIKANA NASI TUTAKUELEZA SEHEMU YA KUIPATA DVD HII APOAPO MKOANI PAKO.
NAWATAKIA BARAKA NJEMA UTAKAZOZIPATA BAADA YA KISIKILIZA NA KUANGALIA UINJILISHAJI HUU.
Tazama moja kati nyimbo zilizopo kwenye hii DVD.
ASANTE NA UBARIKIWE SAAANA.
No comments:
Post a Comment