KWAYA YA MTAKATIFU JOSEPH MFANYAKAZI YAONGOZA TAMASHA LA TMSC JIMBO LA DODOMA. - KABONGE BLOG.

Blog hii ni kwaajili ya masuala/taarifa za kidini na matukio yanayotokea kila siku.

Breaking

Saturday, May 20, 2017

KWAYA YA MTAKATIFU JOSEPH MFANYAKAZI YAONGOZA TAMASHA LA TMSC JIMBO LA DODOMA.

TUMSIFU YESU KRISTO……………



Katika tamasha la kwaya mbalimali zilizopo katika umoja wa vijana wakatoliki (ngazi ya chuo) TMCS- TANZANIA MOVEMENT OF CATHOLIC STUDENTS lililofanyika TR. 20th/MAY/2017  jimbo la Dodoma ambapo vipo vyuo zaidi ya kumi. Katika tamasha hili kwaya lililoanzwa kwa ibada ya misa takatifu katika ukumbi wa chuo cha mtakatifu John Dodoma (ST. JOHN), baadae kufuatiwa na mpambano mkali wa kwaya hizo ambapo ambapo wimbo mmoja uliimbwa na kwaya zote kwa nyakati tofauti  tofauti kwa kupanda jukwaani na kuuimba wimbo hio na wimbo mwingine wowote ambao waliouchagua kuimbwa kwenye tamasha hilo.



MAJAJI WALIOKUWEPO KWENYE TAMASHA HILO NI:-

  •  .       Mwl.  SWAI, J
  •  .      Mwl. MILENGUKO
  •  .      Mwl. NYONI, L
  •  .      Mwl. BLACKMAN


KWAYA ZILIZOSHIRIKI.
  1. .      Kwaya ya Mt. Fransisco-(HOMBOLO)
  2. .      BBM- (St. John)
  3. .      Kwaya ya Mt. Aloyce-(MIPANGO)
  4. .      Kwaya ya Mt. Marko Mwinjili-UDOM (INFORMATICS)
  5. .      Kwaya ya Mt. Joseph Mfanyakazi(UDOM-COED)
  6. .      Kwaya ya Mt. Kamili(UDOM-TIBA)
  7. .      Kwaya ya Mt. Gregory(St. John)



HATIMAYE KWAYA YA MT. JOSEPH MFANYAKAZI IMEIBUKA  VINARA WA MASHINDANO HAYO  NA USHINDI MNONO KWA ALAMA 88% NAFASI YA KWANZA.
NYIMBO ZILIZOIMBWA NA KWAYA HIO NI.
  • 1.      UMOJA NA UPENDO (Na,  Shanel Komba)
  • 2.      TAZAMA ILIVYO VYEMA (Na, NYANZA)

HUKU NAFASI YA PILI IKICHUKULIWA NA KWAYA YA MTAKATIFU GREGORY KWA ALAMA 70.3%


KABONGE BLOG ilimtafuta mwalimu mmojawapo wa kwaya ya Mt. Joseph MWL, BRAVIUS MTONGOLE kuhusu kujua siri iliyojificha ndani ya uimbaji nzuri wa kwaya hiyo ya mtakatifu Joseph ambapo aliorodhesha kama ifuatavyo:-

        i.   NIDHUMU BAINA YA WANAKWAYA NA WALIMU NA VIONGOZI.
     ii.        KUFUATA  MAELEKEZO YOTE YANAYOTOLEWA NA WALIMU WAKATI  WA              
          MAZOEZI.
    iii.   KUWA NA MAZOEZI YA MARA KWA MARA KWA.
   iv.            UMOJA NA MSHIKAMANO BAINA WA WALIMU.
   v.            KUMTANGULIZA  MUNGU MBELE KATIKA KILA JAMBO WALIFANYALO.


SAMBAMBA NA HILO pia KABONGE BLOG inatoa shukrani za dhati kwa walimu wa kwaya hio kwa kujitoa bila kujibakiza katika kuifundisha kwaya hio licha ya changamoto zao nyingi wanazokumbana nazo katika utume huo.


Shukrani ziwaendee.
  • 1.      Mwl. YUSUPH MWASELELA
  • 2.      Mwl. ELTON LIBONGI
  • 3.      Mwl. BRAVIUS MTONGOLE
  • 4.      Mwl. PASCAL KABONGE
  • 5.      Mwl. GEORGE MBANGO
  • 6.      Mwl. JULIUS KISAPI
  • 7.      Mwl. ABELI SIMEO
  • 8.      WANAKWAYA WOOOOOOOOOOOTE WA KWAYA YA MT. JOSEPH MFANYAKAZI UDOM-COED.



TMCS---- PREFERENTIAL  OPTION FOR THE POOR. 

PREPARED BY, PASCHAL KABONGE

No comments:

Post a Comment